7/07/2005

Kumbe mtuhumiwa alikuwa na blogu

Jamaa anayetuhumiwa kuteka watoto wawili alikuwa ana blogu. Blogu yake aliita "msumari wa tano" kutokana na hadithi kuwa msumari wa tano ulikuwa ndio umalize maisha ya Yesu, ila ulifichwa askari wa Kirumi wasiuone. Hii ndio blogu yake.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com