8/19/2005

Helsinki Conference 2005: Utandawazi na Demokrasia

Mwaka 2002 serikali za Tanzania na Ufini zilianzisha majadiliano yenye nia ya kufanya wimbi wa utandawazi (yaani utandawizi) kuendana na misingi ya demokrasia (domoghasia au mkumbokrasia kama anayoita Idya). Majadiliano hayo yanaendelea mwezi ujao huko Ufini katika jiji la Helsinki ambapo Rais wa Tanzania wa sasa na ajaye watahudhuria. Nenda hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com