8/06/2005

Wananchi walipokagua silaha za maangamizi za Marekani

Wakati natembelea tovuti ya shirika la Grace nimekutana na habari hii kuhusu wananchi wa Marekani na Canada waliojiunga ili kufanya ukaguzi, kama ule uliokuwa ukifanywa na wakaguzi wa Umoja wa Mataifa na mashushushu wa Marekani kule Iraki, wa silaha za maangamizi.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com