10/21/2005

Pop!Tech: Ijumaa Asubuhi

Leo asubuhi kuliwa na wazungumzaji wawili katika mjadala ulioitwa: People, Place, and Planet. Nilipata matatizo ya mtandao usiwaya. Kwahiyo sikuweza kuandika mambo yalivyokuwa yanatokea. Walioongea ni Suketu Mehta mwandishi wa kitabu cha Maximum City. Tovuti yake hii hapa. Mzungumzaji mwingine alikuwa ni Mark Lynas ambaye alikuwa akizungumzia mabadiiko ya hali ya hewa. Tazama picha za mjadala wake hapa. Picha nyingine ziko hapa. Tovuti yake hii hapa. Siwezi kuongea kwa undani waliyosema maana mkutano unaendelea na kuna wengine wanaongea. Ila tovuti zao zinaweza kuwapa picha fulani ya mambo ambayo wamezungumzia.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com