11/19/2005

Muziki wa Watumwa Wapya?

Ramadhani Msangi ambaye hivi karibu alianza kututaka tuanze kuzungumza badala ya kusema, ameendeleza mjadala ambao Jeff Msangi aliuzungumzia na kuzua cheche. Kwanza aliandika haya, mjadala ukaendelea hapa na hapa.
Hebu bonyeza hapa uende kwa Ndugu Msangi umsome. Kisha soma maoni motomoto ya wasomaji na pia ongeza yako.
****************************************************
Wakati huo huo....
Mapema leo wakati nikiipitia blogu mpya ya ndugu Nyembo nilikutana na hoja yake ya agano jipya na la kale. Agano la Kale ndio lile ambalo tumeambiwa kuwa hakuna anayejua liko wapi...yaani mkataba wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Nimependa aliposema haya, "Kuipaka rangi Manowari si njia sahihi ya kuzuia maji kupenya..."

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com