11/18/2005

Mwanablogu Mwingine Aingia Uwanjani

Bwana Nyembo kajiuliza kwanini naye asiamue kuwa na blogu yake ili kutoa mawazo yake mtandaoni? Huyu ni mwabablogu mpya wa Kiswahili. Kanifurahisha mahali fulani ambapo kabadili msemo wa Kiswahili usemao "Asiyekubali kushindwa sio mshindani." Yeye anasema kuwa kule Zanzibar, "Asiyekubali kushindwa ni shujaa!" Bonyeza hapa usome blogu yake na kumkaribisha.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com