11/12/2005

Weusi tumetoka Milima ya Mbalamwezi

Lile kundi la Midnite ambalo nimelitaja mapema leo (bonyeza hapa usome nilipowataja) linaendelea kutumbuiza pembeni yangu. Ule wimbo wanaosema: "Ishi maisha upendayo, pena maisha unayoishi" kuna mahali wanasema,"Watu weusi ni Wakushi tuliotoka milima ya mbalamwezi...mlima Kilimanjaro, mlima Ruwenzori, mlima Kibo..."
Tafadhali usiache kusoma niliyoandika hapo chini nikijadili kuhusu watawaliwa na wa-twawala.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com