11/07/2005

Zanzibar: Damu Zaidi Itamwagika?

Mijadala mizito inaendelea mtandaoni kuhusu mchezo wa kura uliofanyika kule Zanzibar. Soma baadhi ya maoni ya wananchi. Nimetumiwa na bwana mmoja aliyeko Florida.

From: Anonymous-234 <zenj@zanzinet.org>
Reply To: zanzinet@zanzinet.org
To: ZANZINET <zanzinet@zanzinet.org>
Subject: Re: [Zanzinet]Hali halisi ya nchi yetuSent:
Wednesday, November 2, 2005 11:39 AM
Hakuna solution yoyote ndugu yangu kwa Zanzibar zaidiya kuchukua picha ya wapalestina na sisi. Hakuna jinsikwa sasa na mipango yote itakayofanyika itaishiakwenye unafiki tu na kubabaishwa na wakoloni wa CCM.Muafaka wa pili haukusaidia na matokeo yake Mkapaameshairubuni AU, SADCC na Afrika mashariki yote iwezekuside nae na kuona Uppinzani ndio wa kulaumiwa.Angalia ripoti zao kuhusu tathmini ya Uchaguzi,wanaipigia debe CCM na kuifanya CUF kuonekana kitukoduniani. Maji yameshamwagika, na kwa mtindo huu hatuponi.Masikini wazee wetu waliishi katika ukoloni na sisitumeendelea na Ukoloni tena thakili kuliko huo hapokabla.Hivi karibuni utasikia kua Chama cha CUFkinaorodheshwa katika vyama vyenye msimamo mkali nahili ndio lengo. Watajidai kuipatia Wizara za uongokatika serikali ya wizi na wakijua kua CUF haitakubalina hapo ndipo watakapozidi kuipaka katika Jumuiya zakimataifa. Yaani hapo pana mbinu za kiaina kutumalizaWazanzibari, na hakuna kitakacholeta watu mezanikatika kweli na haki, ila itakapodhihirika wazi kuasasa ni kweli na nchi haitawaliki. M.Mungu tusaidiekuondokana na udhalimu huu, tutaabaniiiiiiiiiii!
khamis mustapha

<k_falla2000@yahoo.com> wrote: Jamani hivi kweli kumwaga damu ndiyo solution yamatatizo yaliyokuwapo zanzibar, Hatuoni kamatunaongeza matatizo ambayo hatuweza kuya solve milele:Wacha na tuangalie Damu imemwagika miaka 40 nyuma naeffect yake inaoneka mpaka sasa ijapokuwa tumejidahidikutaka kuifuta lakini wapi bado tunaendelea kuathirikanayo.Mtu asifikirie kama mimi ni pro CCM kwa kuandikamaoni yangu hayo ( mimi nataka kama leo CCM iondokemadarakani hata kama kwenye ndoto) lakini nikoconcerned na ile hali halisi tuliyokuwa nayo palenyumbani.Sasa itakuwa busara zaidi tukikaa na kutafutasolution nyengine na siyo umwagaji wa damu bye

BARKE JUWEID <barkejuweid@yahoo.com> wrote: Asalaam Aleikum Wajumbe, Baada ya kuzingatia haya yote yanayoendeleakwetu nimekuja na kupata jibu hili lisemwalo na wanaCCM,nalo ni kuwa WAO WAMEMWAGA DAMU KUIPATA NCHI,KWAHIYO KUITOWA PIA ITABIDI WAITOWE KWA NJIA HIYO HIYO YAKUMWAGA DAMU,SIO KWA NJIA YA VIKARATASI. Kutokana na hayo basi nduguzanguni hata kamatutafanya chaguzi 100 nchi haitopatikana. Serikali wanayo wao,Polisi wao,Jeshilao,tutaipataje kwa njia ya vikaratasi ? Kilichokuwepo sasa ni kuwaunga mkono na lughahiyo hiyo ya umwagaji wa damu. Sisi hatuna polisi,wala jeshi wa kutusaidiakuimwaga hiyo damu,kwahiyo itatubidi tutumie mikonoyetu na uwezo wowote tulionao kujibu lugha hiyo yaumwagaji wa damu kwa kuwasaka mmoja mmoja nakuwapunguza,kila mwezi tunakwenda na mmoja,tukitimizamwaka na 12 tumeshawapeleka nafikiri hii lugha yakumwaga damu itapungua na labda hapo ndio itakuja hiyofikra ya kukaa pamoja sote kama Wazanzibari na kuiokoanchi yetu. Najuwa kutazuka watu humu ukumbini na kupingahaya kwa vizingiti vya dini,lakini haya yanayotokea nayatayofuatia katika nchi yetu haiwezekani kwa namnayoyote kuiokoa. Namalizia hapa kungoja fikra na mawazo yenuwajumbe ili tuendelee kuchangia haya.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com